Jumanne, 13 Novemba 2018

Kushindwa kufanya tendo

بسم الله الرحمن الرحيم.

PONYO NA SULUHISHO LA MARADHI.

Tiba ya mtu aliyefungwa asiweze kuliendea tendo la ndoa.

Ipo namna ya uchawi ambayo lengo ni kuwatenganisha wanandoa,au kumfanya mwanaume asioe au mwanamke asioleke,si jingine ni kifungo cha kumzuia kufanya tendo la ndoa.

Dalili kwa mwanaume.

1,Kushindwa kumuingilia mkewe kwa kupoteza nguvu karibu ya tendo hilo,
2,Kutotokua na nguvu za kiume zenye kutosheleza mpaka kuhofia kuoa.
3,Kuishiwa nguvu ghafla katikati ya tendo la ndoa.
4,Mwanaume kumchukia mkewe bila ya sababu na kutomtamani hata kama nguvu zipo.

Dalili kwa mwanamke.

1,Kuchukia tendo la ndoa na kutohisi raha.
2,Kukosa ute na maumivu makali pamoja na michubuko.
3,Kukosa hedhi kabisa au kupata hedhi chache.
4,Maumivu makali sana ya tumbo siku za hedhi hasa chini ya kitovu.
5,Kutoshika mimba kabisa au kutoka mimba mara kwa mara.
5,Kuzaa kwa tabu kupita kiasi au kulazimu upasuaji mara kwa mara.
6,Kutohisi kabisa uchungu wa uzazi hata kama siku zimetimia na kupitiliza.
7,Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoa au kabla.
8,Kutembea kitu tumboni au mwilini wote

Dawa yake.

1,Mizizi saba ya mti uitwao Mwamba mji (Ausajal Ahmara).
2,Ubani Dhukhra vijiko vitatu vya chakula.
3,Maji lita sita.

Maandalizi.

Vioshe kwanza kisha changanya vitu hivyo halafu chemsha  mpaka maji yafikie lita tano,baada ya hapo acha ipoe  kisha somea aya za Ruqya rudia mara tatu.

Matumizi.

Anywe muathirika wa uchawi kikombe cha chai kidogo kila baada ya masaa  manne usiku na mchana mpaka dawa iishe ila mja mzito na mtoto mdogo wasitumie dawa hii.

Faida ya dawa.

Dawa hii inabatilisha vifungo vya namna nyingi vya uchawi na imewanufaisha wengi.

Tanbihi.

Dawa hii itunzwe kwa kuwekwa ndani ya Friji,au ipashwe moto kila siku asubuhi na jioni ili isiharibike.

Matokeo ya dawa.

Siyo ajabu mgonjwa akaharisha kidogo,au kukojoa sana,au mwanamke kupata hedhi nyingi kidogo,hali zote hizo ni namna ya kusafisha,pia siyo ajabu akahisi kumtembea vitu mwilini au kufunguka mafundo, hiyo ni dalili ya kuwa na jini ,akiona hivyo basi asomewe Ruqya ya kisheria atapona lnshaallah.
+255715849684

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni